Recent posts

Show more
YANGA WAJIPANGA KUWAKABILI WANAIJERIA JUMAPILI HII
Ratings:
Platform:
Windows

STRAIKA mpya wa Yanga, Yusuph Athuman amesema aina ya tizi wanalopiga kambini kwao Avic, Kigamboni wale River United ya Nigeria hawachomoki kwa Mkapa Jumapili hii; “Yaani wakikoswa sana mbili.” Yanga inarejea kwenye michuano ya k…

HABARI MPYA KUTOKA KLABU YA SIMBA ZILIZOTUFIKIA HIVI PUNDE KUTOKA KLABU YA SIMBA ASUBUHI HII
Ratings:
Platform:
Windows

Baada ya kuibuka na ushindi wa bao 1-0 dhidi ya Gendarmarie Nationale FC, katika mchezo wa Kombe la Shirikisho siku ya jana, Simba sasa itacheza na Al Masry SC March 6 2018.

Breaking News: HABARI MPYA KUTOKA KLABU YA YANGA KUELEKEA UBINGWA LIGI KUU
Ratings:
Platform:
Windows

Beki wa Yanga, Andrew Vincent 'Dante' amesema mpaka sasa bado ubingwa wa Ligi Kuu Bara hauna mwenyewe na kwamba kikosi chao kina mpango maalum wa kuwakimbiza vinara wa ligi hiyo Simba.

USIKUBALI KUPITWA!!! HIVI NDIVYO ILIVYOKUWA KWA SIMBA HAPO JANA
Ratings:
Platform:
Windows

Vinara wa Ligi Kuu Bara Simba baada ya kuiondoa Gendarmarie kwa ujumla ya mabao 5-0 sasa watacheza na Al Masry ya Misri katika raundi ya pili ya Kombe la Shirikisho Afrika.

HAYA HAPA MAGAZETI YA LEO JUMATANO FEBRUARI 21,2018
Ratings:
Platform:
Windows

Magazetini leo Jumatano Februari 21,2018

Breaking News: HABARI MPYA ZILIZOTUFIKIA HIVI PUNDE KUTOKA KLABU YA YANGA IKIWA UGENINI SHELISHELI
Ratings:
Platform:
Windows

Mabingwa wa Ligi Kuu Bara, Yanga imefanya mazoezi yake ya mwisho asubuhi ya leo kwenye Uwanja wa Stade Linite utakaotumia kwa mechi ya kesho dhidi ya St. Louis.

AISHI MANULA APATWA JANGA HILI LAKINI AAHIDI MAKUBWA MECHI YA LEO
Ratings:
Platform:
Windows

Kocha msaidizi wa Simba Mrundi Irambona Masoud Djuma akiongea na kituo cha radio hapa chini amethibitisha kwamba golikipa wao Aishi Manula atakuwepo langoni katika mchezo wa marudiano wa Caf Confederation Cup dhidi ya Gendarm…

YANGA WAKUMBANA NA KIZAAZAA HIKI IKIWA UGENINI SHELISHELI
Ratings:
Platform:
Windows

Yanga wamelazimika kusubiri kwa zaidi ya dakika 40 uwanjani baada ya kumaliza mazoezi yao jioni hii kutokana na kucheleweshewa basi wanalolitumia kwa safari zao tangu walipofika Shelisheli.

HAYA HAPA MAGAZETI YOTE YA LEO JUMANNE FEBRUARI 20, 2018
Ratings:
Platform:
Windows

Magazetini leo Jumanne Februari 20,2018

Breaking News: HABARI MPYA KUTOKA KLABU YA YANGA ZILIZOTUFIKIA HIVI PUNDE MCHANA HUU
Ratings:
Platform:
Windows

Kiungo mshambuliaji wa Yanga, Ibrahim Ajibu Migomba na chipukizi anayekua kwa kasi, Yohana Nkomola wamerejesha matumaini kwenye timu hiyo na kesho Jumamosi huenda wakawepo kwenye orodha ya kikosi kitakachoivaa St Louis ya Sheli…

That is All
Close Menu